Zaidi ya wahudumu 1400 wa sekta ya tiba Gaza wameuawa na Israel

Wizara ya Afya ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Israel yameua mamia ya madaktari na wahudumu wa afya katika eneo hilo linalozingirwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *