Zaidi ya askari 1,300 wa DRC wahamishwa kutoka Goma

Shirika la Kimataifa la Msalaba Mwekundu limetangaza kuwa, limewahamisha zaidi ya wanajeshi na polisi 1,300 wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kutoka kwenye mji wa mashariki wa Goma unaodhibitiwa na waasi wa M23.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *