Yemen yatwanga tena kambi ya anga ya Israel kwa kombora baada ya shambulio la anga la Marekani

Msemaji wa Jeshi la Yemen, Brigedia Jenerali Yahya Saree ametangaza kuwa nchi yake imefanya shambulio la kombora dhidi ya kambi ya anga ya jeshi la Israel ili kulipiza kisasi vita vya mauaji ya kimbari vya utawala huo kwenye eneo la Ukanda wa Gaza huko Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *