Yemen Yapiga marufuku usafirishaji wa mafuta ghafi ya Marekani kupitia Bahari Nyekundu

Serikali ya Yemen imetangaza marufuku ya jumla dhidi ya mafuta ghafi ya Marekani, kama jibu kwa mashambulizi yanayoendelea ya Washington kwenye ardhi ya nchi hiyo ya Kiarabu, pamoja na mashambulizi yanayolenga raia na miundombinu ya kiraia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *