Vikosi vya Ulinzi vya Yemen (YAF) vimefanya operesheni ya kijeshi kulenga eneo la jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Yafa kwa kutumia ndege isiyo na rubani ya Yaffa iliyotengenezwa ndani ya Yemen, na kuiangusha pia ndege isiyo na rubani ya Marekani aina ya Giant Shark F360 katika Mkoa wa Sa’daa.
Related Posts
HAMAS: Kuwa na silaha ni haki ya kisheria ya Muqawama na kuachana nazo ni jambo lisilowezekana
Hazem Qassem, msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS ameashiria matamshi yaliyonasibishwa na kiongozi mwandamizi wa harakati…

Sita wajeruhiwa katika shambulizi la Ukraine kwenye eneo la kati la Urusi – gavana
Sita walijeruhiwa katika mgomo wa Ukraine kwenye eneo la kati la Urusi – gavanaKiev imefanya shambulio “kubwa” la ndege zisizo…
Urusi inarudisha nyuma mashambulizi ya adui, inapiga hifadhi, Kiev inapoteza askari: hali katika eneo la Kursk
Urusi inarudisha nyuma mashambulizi ya adui, inapiga hifadhi, Kiev inapoteza askari: hali katika eneo la Kursk MOSCOW, Oktoba 8. /../.…