Yemen imetangaza habari ya kuifunga Bandari ya Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel, ili kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kujibu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
Related Posts
Miaka 77 baada ya Siku ya Nakba; jinai zisizo na kikomo za Wazayuni na muqawama imara wa Wapalestina
Ni miaka 77 imepita sasa tangu Siku ya Nakba. Jinai za Wazayuni zinazidi kushika kasi mno, na Wapalestina wanaendelea kusisitiza…
Ni miaka 77 imepita sasa tangu Siku ya Nakba. Jinai za Wazayuni zinazidi kushika kasi mno, na Wapalestina wanaendelea kusisitiza…

Kim anaangazia kuimarisha ushirikiano na Moscow
Kim anaangazia kuimarisha ushirikiano na MoscowKiongozi wa Korea Kaskazini amempokea katibu wa baraza la usalama la Urusi, Sergey Shoigu Kim…
Kim anaangazia kuimarisha ushirikiano na MoscowKiongozi wa Korea Kaskazini amempokea katibu wa baraza la usalama la Urusi, Sergey Shoigu Kim…
Siku ya Quds: Mamilioni ya Wayemen washiriki maandamano ya kuiunga mkono Palestina
Wananchi wa Yemen jana walijitokeza kwa mamilioni katika maandamano ya kuunga mkono kadhia ya Palestina ikiwa ni katika Ijumaa ya…
Wananchi wa Yemen jana walijitokeza kwa mamilioni katika maandamano ya kuunga mkono kadhia ya Palestina ikiwa ni katika Ijumaa ya…