Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

Yemen yaiwekea mzingiro Bandari ya Haifa ili kuiunga mkono Palestina

Yemen imetangaza habari ya kuifunga Bandari ya Haifa katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na kupachikwa jina bandia la Israel, ili kuwaunga mkono wananchi wa Palestina na kujibu mashambulizi yanayoendelea kufanywa na Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *