Msemaji wa Jeshi la Yemen ametangaza kuwa, jeshi la nchi hiyo limefanya operesheni nne za kijeshi dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani, muhimu zaidi ikiwa ni kuishambulia manuwari ya kubebea ndege ya Marekani iitwayo “Truman” kaskazini mwa Bahari Nyekundu.
Related Posts
WHO yasikitishwa na Marekani kujiondoa kwenye shirika hilo
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeelezea masikitiko yake kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuiondoa nchi hiyo…
Shirika la Afya Duniani (WHO) limeelezea masikitiko yake kufuatia tangazo la Rais wa Marekani Donald Trump la kuiondoa nchi hiyo…
Kamanda wa Kikosi cha Quds: Kipigo kikubwa zaidi dhidi ya Israel kimeonekana
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kuanza utekelezaji…
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kuanza utekelezaji…
Kujipa Marekani hadhi ya kipekee; mtazamo haribifu wenye madhara kwa dunia na hata kwa Marekani yenyewe
Kujiona Marekani nchi ya kipekee yenye hadhi na ubora kuliko mataifa mengine yote, ni sera ambayo imekuwa na matokeo hasi…
Kujiona Marekani nchi ya kipekee yenye hadhi na ubora kuliko mataifa mengine yote, ni sera ambayo imekuwa na matokeo hasi…