Yemen yaitaka Riyadh ijifunze kutokana na hatma ya Zelensky

Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amewaonya maafisa wa Saudi Arabia na kuwataka wapate somo na ibra kutokana na jinsi Marekani ilivyomfanyia Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, na kuwaonya dhidi ya kuitegemea kipofu Washington.