Yemen yaionya Israel, Marekani: Tunaitazama Gaza; vidole vyetu viko kwenye kitufe cha bunduki

Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imetoa onyo kali dhidi uvamizi wa jeshi la utawala ghasibu wa Israel unaoungwa mkono na Marekani katika Ukanda wa Gaza, na kusema imejiandaa kikamilifu kuchukua hatua dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.