Yemen imetangaza kuanza tena operesheni za kijeshi za kushambulia meli za Israel katika maeneo muhimu ya baharini karibu na fukwe zake kufuatia kumalizika muda wa mwisho ilioupa utawala wa Kizayuni wa kufungua tena vivuko vya Ukanda wa Ghaza na kuruhusu misaada kuwafikia Wapalestina iliowasababishia hasara kubwa kutokana na mashamblizi yake ya kikatili ya zaidi ya miezi 15.
Related Posts
Nchi Zaidi za Afrika zajiondoa katika Jumuiya ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa
Burkina Faso na Mali zimejitoa kutoka Jumuiya ya Kimataifa ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (OIF), zikifuata mfano wa jirani wao wa…
Burkina Faso na Mali zimejitoa kutoka Jumuiya ya Kimataifa ya Nchi Zinazozungumza Kifaransa (OIF), zikifuata mfano wa jirani wao wa…
Rais Tshisekedi anapanga kuunda serikali ya umoja wa kitaifa
Rais wa Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatazamiwa kuzindua serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.…
Rais wa Felix Tshisekedi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo anatazamiwa kuzindua serikali ya umoja wa kitaifa ya nchi hiyo.…
Araqchi: Iran haina lengo la kumiliki silaha za nyuklia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuunda na kumiliki silaha za nyuklia kwa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haitaki kuunda na kumiliki silaha za nyuklia kwa…