Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina yapongeza uamuzi wa Macron kuitambua rasmi Palestina

Wizara ya Mambo ya Nje ya Palestina imekaribisha msimamo uliotangazwa na Rais wa Ufaransa kuhusu uwezekano wa nchi hiyo kulitambua rasmi Taifa la Palestina katika miezi ijayo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *