Mjumbe wa Baraza la Wanavyuoni Wataalamu ambaye pia ni Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amegusia jinai za kutisha zinazoendelea kufanywa na Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Ghaza na kusisitiza kwambaa, kuna udharura kwa wimbi la hasira za walimwengu liukumbe utawala wa Kizayuni na waungaji mkono wake.
Related Posts
Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan: Mpango wa kuanzisha serikali nyingine mezaliwa ukiwa maiti
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema mpango wa makundi ya upinzani yakiongozwa na Rapid Support Forces…
Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Sudan amesema mpango wa makundi ya upinzani yakiongozwa na Rapid Support Forces…
Waasi wa M23 wakaribia kudhibiti kikamilifu mji muhimu wa Goma DRC
Waasi wa M23 wanaonekana kukaribia kuudhibiti mji muhimu wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia ripoti kwamba…
Waasi wa M23 wanaonekana kukaribia kuudhibiti mji muhimu wa Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia ripoti kwamba…
Kamanda wa Kikosi cha Quds: Kipigo kikubwa zaidi dhidi ya Israel kimeonekana
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kuanza utekelezaji…
Kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) amesema kuwa, kuanza utekelezaji…