Wiki mbaya zaidi kwa soko la hisa Marekani wakati ushuru wa 10% ukianza kutumika Uingereza

Masoko ya hisa nchini Marekani yamehitimisha wiki yao mbaya zaidi tangu 2020, huku viwango vikubwa vya ushuru wa Donald Trump vikiendelea kusababisha taharuki kwenye masoko ya kimataifa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *