WHO: Mlipuko wa polio Madagascar umekwisha

WHO: Mlipuko wa polio Madagascar umekwisha

Mlipuko wa ugonjwa wa polio aina ya kwanza au (Type 1) nchini Madagascar umetangazwa kuwa umemalizika. Hii ni kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Jumanne na Shirika la Afya Duniani (WHO).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *