Waziri wa Utamaduni wa Iran anamuwakilishi Rais Pezeshkian katika maziko ya Papa

Waziri wa Utamaduni na Mwongozo wa Kiislamu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Salehi, yuko Roma ambako anashiriki katika maziko ya aliyekuwa kiongozi wa Kanisa Katoliki, Papa Francis, kwa niaba ya Rais Masoud Pezeshkian.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *