Waziri wa Mambo ya Nje: Iran itajibu barua ya Trump 

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kwamba Jamhuri ya Kiislamu itajibu barua ya Rais wa Marekani Donald Trump katika siku zijazo kupitia njia zinazofaa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *