Waziri Mkuu wa Pakistan apongeza jitihada za Iran kupunguza mvutano na India

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesifu juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kusaidia kupunguza mvutano kati ya Islamabad na New Delhi kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea mwezi uliopita katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India. Ametilia mkazo umuhimu wa kutafuta suluhu kupitia majadiliano na mikakati ya kisiasa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *