Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, amesifu juhudi za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kusaidia kupunguza mvutano kati ya Islamabad na New Delhi kufuatia shambulizi la kigaidi lililotokea mwezi uliopita katika eneo la Kashmir linalosimamiwa na India. Ametilia mkazo umuhimu wa kutafuta suluhu kupitia majadiliano na mikakati ya kisiasa.
Related Posts
Putin apendekeza mazungumzo ya moja kwa moja na Ukraine kwa ajili ya ‘amani ya kudumu’
Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa wito akitaka kuanza tena mazungumzo ya moja kwa moja bila masharti kati ya nchi…
Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa wito akitaka kuanza tena mazungumzo ya moja kwa moja bila masharti kati ya nchi…

Wanasiasa wa upinzani nchini Tanzania wakamatwa
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Mjumbe wa Trump: Mazungumzo ya Iran na Marekani ni chanya
Mjumbe wa rais wa Marekani, Donald Trump katika ukanda wa Asia Magharibi amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja…
Mjumbe wa rais wa Marekani, Donald Trump katika ukanda wa Asia Magharibi amesema kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja…