Waziri Mkuu wa Greenland amejibu matamshi ya Rais wa Marekani aliyedai kwamba Washington inataka kukidhibiti kisiwa hicho kikubwa cha ncha ya kaskazini ya dunia, na kusisitiza kwamba: “Marekani haitaipata Greenland”.
Related Posts
Adhanom: Ufadhili wa afya duniani unakabiliwa na mgogoro mbaya zaidi kuwahi kutokea
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonya kuwa afya ya kimataifa iko hatarini huku msaada wa wafadhili ukikatika na…
Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameonya kuwa afya ya kimataifa iko hatarini huku msaada wa wafadhili ukikatika na…
Jumatano, tarehe Pili Aprili, 2025
Leo ni Jumatano tarehe 3 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili Pili mwaka 2025. Post Views: 20
Leo ni Jumatano tarehe 3 Shawwal 1446 Hijria sawa na Aprili Pili mwaka 2025. Post Views: 20
Mjumbe wa UN asema mashambulizi ya anga ya Israel dhidi ya Syria lazima yakome ‘mara moja’
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Syria, Geir Pedersen, amelaani vikali ukiukaji unaozidi kuongezeka wa mamlaka ya Syria unaofanywa…
Mjumbe Maalumu wa Umoja wa Mataifa nchini Syria, Geir Pedersen, amelaani vikali ukiukaji unaozidi kuongezeka wa mamlaka ya Syria unaofanywa…