Waziri: Kukubaliwa Uganda kuwa mshirika wa BRICS ni hatua muhimu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda, Jeje Odongo amesema kukubaliwa nchi hiyo kuwa taifa mshirika wa BRICS kunaashiria hatua muhimu katika uhusiano wa kigeni, na matarajio ya maendeleo ya nchi hiyo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *