Wayemen wasambaratisha sekta ya utalii ya Israel

Athari za tangazo la Jeshi la Yemen la kufunga anga ya Israel mpaka utawala wa Kizayuni utakapoacha kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Ghaza zinaendelea kuitia hasara Israel na zimesambaratisha sekta ya utalii ya utawala wa Kizayuni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *