Watu watatu wauawa, akiwemo afisa wa Hamas, katika shambulio la Israel kusini mwa Lebanon

Angalau watu watatu, akiwemo afisa mwandamizi wa harakati ya Hamas, wameuawa katika shambulio la anga la Israel lililolenga nyumba moja kusini mwa Lebanon, katika ukiukaji wa wazi wa makubaliano ya kusitisha mapigano.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *