Watu kadhaa wajeruhiwa katika maandamano ya kulalamikia kuaga dunia wanafunzi 3 Tunisia

Watu kadhaa wamejeruhiwa katika maandamano yaliyofanyika katika mji wa Mezzouna katikati mwa Tunisia kufuatia vifo vya wanafunzi watatu. Wanafunzo hao wamepoteza maisha baada ya kuangukiwa na ukuta wa shule.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *