Watu 7 wauawa katika shambulizi kaskazini-kati mwa Nigeria

Wafugaji waliokuwa na silaha jana Jumanne waliishambulia jamii ya Otobi katika Jimbo la Benue kaskazini-kati mwa Nigeria, siku moja baada ya kundi lililokuwa na silaha kuwaua watu 51 katika Jimbo la Plateau.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *