Watu 11 wauawa katika shambulizi jipya jimboni Benue, Nigeria

Watu wasiopungua 11 wameuawa kufuatia shambulizi jipya lililofanywa na wafugaji wenye silaha katika jamii ya Afia, iliyoko katika eneo la Serikali ya Mitaa ya Ukum, Jimbo la Benue, kaskazini-kati mwa Nigeria.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *