Watoto nusu milioni waingia hatarini kutoka na ghasia mjini Tripoli Libya

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema kuwa, kuongezeka ghasia ndani na karibu na mji mkuu wa Libya, Tripoli, kunatishia usalama wa karibu watoto nusu milioni mjini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *