Watoto 1,000 wauawa Palestina katika kipindi cha wiki moja

Watoto wasiopungua 1,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi katika kipindi cha juma moja kufuatia wimbi jipya la hujuma na unyaama wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *