Wataalamu wa Umoja wa Mataifa: Wanaharakati wakosoaji wa Israel sio wahalifu

Wataalamu wa Umoja wa Mataifa na wanaharakati wa mitandao ya kijamii wamelaani vikali kukamatwa kwa mwandishi maarufu wa habari Mmarekani mwenye asili ya Palestina katika mji wa Zurich Uswisi, wakisema kuwa kunazua wasiwasi kuhusu uhuru wa kujieleza katika nchi za Magharibi.