Wapinzani na wafuasi wa Trump waungana kupinga zawadi ya ndege ya Qatar

Familia ya kifalme ya Qatar inapanga kutoa ndege ya kifahari aina ya Boeing 747-8, inayokadiriwa kuwa na thamani ya dola za kimarekani milioni 400 (£300m), kwa Idara ya Ulinzi ya Marekani ili itumike kama sehemu ya ndege zinazoitwa Air Force One – ndege rasmi za usafiri wa rais.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *