Wapinzani CAR waandamana kupinga muhula wa tatu wa Rais Touadéra

Maelfu ya waandamanaji wamemiminika katika mitaa ya Bangui, mji mkuu wa Jamhuri ya Afrika ya Kati wakiandamana bega kwa bega na wabunge wa upinzani kupinga vikali taarifa kwamba Rais Faustin-Archange Touadéra wa nchi hiyo anafanya juhudi za kuwania kiti cha urais kwa muhula wa tatu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *