Wapalestina wengine 51 wauawa shahidi katika hujuma ya kinyama ya Israel

Kwa akali Wapalaestina 50 wameuawa shahidi katika mashambulio ya kinyama ya karibuni zaidi kufanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza huku idadi ya vifo ikiendelea kuongezeka.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *