Afisa wa vyombo vya habari katika ofisi ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS inayoshuughulikia masuala ya mateka Wapalestina amethibitisha kuwa mateka 79 wa Kipalestina walioachiliwa huru na utawala wa Kizayuni wa Israel kama sehemu ya makubaliano ya kusitisha mapigano na kubadilishana mateka Ghaza wamewasili Cairo baada ya kufukuzwa na utawala huo na kuhamishiwa nchini Misri.
Related Posts
RSF yaua raia 23 katika mashambulizi kadhaa al-Jazira, Sudan
Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimeripotiwa kuwauwa makumi ya raia katika vijiji vya jimbo la al-Jazira ambalo…
Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan (RSF) vimeripotiwa kuwauwa makumi ya raia katika vijiji vya jimbo la al-Jazira ambalo…

Jeshi la Urusi lalezea kinachoendelea kwenye uwanja a mapambnao baada ya Ukraine kuivamia Urusi
Masuala ya kijeshi ya Urusi yanasasishwa kuhusu mapigano ya mpakaWizara ya Ulinzi ya Ukraine imesema kuwa imepoteza wanajeshi 260 katika…
Masuala ya kijeshi ya Urusi yanasasishwa kuhusu mapigano ya mpakaWizara ya Ulinzi ya Ukraine imesema kuwa imepoteza wanajeshi 260 katika…
Wabunge EU: Ulaya haiwezi kuendelea kuitegemea Marekani
Wabunge wa Bunge la Ulaya wamesema bara hilo haliwezi kuendelea kuitegemea kikamilifu Marekani kwa ulinzi; na kutoa wito wa kuimarisha…
Wabunge wa Bunge la Ulaya wamesema bara hilo haliwezi kuendelea kuitegemea kikamilifu Marekani kwa ulinzi; na kutoa wito wa kuimarisha…