Wapalestina 26 wamekufa kwa njaa Ghaza katika muda wa saa 24 zilizopita

Wapalestina 26 wamekufa kwa njaa Ghaza katika muda wa saa 24 zilizopita

Shirika moja la kimataifa la kutetea haki za binadamu limesema kuwa, takriban Wapalestina 26, wakiwemo watoto wadogo 9, wamekufa kutokana na njaa na ukosefu wa msaada wa matibabu katika Ukanda wa Ghaza unaozingirwa kila upande, kwenye kipindi cha saa 24 zilizopita.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *