Katika Afrika Mashariki, wanawake mara nyingi hubeba mizigo inayolingana na asilimia 70% ya uzito wa miili yao juu ya vichwa vyao, kwa masaa au hata siku kadhaa. Utafiti unaonyesha kuwa wamebuni mbinu ya kuhifadhi nishati wanapotembea ili kupunguza juhudi za misuli zinazohitajika kubeba mizigo hiyo.
Related Posts

Arab League: Kunyamazia kimya hali ya Palestina na Lebanon ni sawa na kushiriki katika jinai
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesemam kuwa kukaa kimya mkabala wa jinai zinazotekelezwa na utawala…
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amesemam kuwa kukaa kimya mkabala wa jinai zinazotekelezwa na utawala…
Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi: Liverpool, Barca, Madrid zamgombania Wharton
Liverpool wanapambana na vigogo wa Hispania kumsajili Adam Wharton, lakini wanaweza kumpoteza Harvey Elliott kwa Wolves, huku mawakala wa mshambuliaji…
Liverpool wanapambana na vigogo wa Hispania kumsajili Adam Wharton, lakini wanaweza kumpoteza Harvey Elliott kwa Wolves, huku mawakala wa mshambuliaji…

Polisi wa Afrika Kusini wanapanga kuwaondoa wachimba madini haramu chini ya ardhi
Msemaji wa Polisi ya Afrika Kusini, Athlenda Mathe, amesema kuwa wataalamu wa uokoaji wamekutana ili kutekeleza operesheni ya kuwatafuta wachimbaji…
Msemaji wa Polisi ya Afrika Kusini, Athlenda Mathe, amesema kuwa wataalamu wa uokoaji wamekutana ili kutekeleza operesheni ya kuwatafuta wachimbaji…