Katika Afrika Mashariki, wanawake mara nyingi hubeba mizigo inayolingana na asilimia 70% ya uzito wa miili yao juu ya vichwa vyao, kwa masaa au hata siku kadhaa. Utafiti unaonyesha kuwa wamebuni mbinu ya kuhifadhi nishati wanapotembea ili kupunguza juhudi za misuli zinazohitajika kubeba mizigo hiyo.
Related Posts

UN: Uhuru wa maoni na kujieleza umekandamizwa vikali katika vita vya Israel dhidi ya Ghaza
Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa kuchunguza haki ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza amesema, uhuru wa maoni na…
Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa kuchunguza haki ya uhuru wa kutoa maoni na kujieleza amesema, uhuru wa maoni na…

Uhusiano wa Iran na Tunisia wazidi kuimarika, Tunis yataka safari za moja kwa moja za ndege
Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa…
Balozi wa Tunisia mjini Tehran ametaka kuweko safari za moja kwa moja za ndege baina ya Tehran na Tunis hasa…

Araqchi: Wanaotoa silaha kwa Israel wanaishutumu Iran kutuma makombora huko Russia
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Umoja wa Ulaya na Uingereza zinatumia mienendo inayokinzana dhidi ya Iran ambayo…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Umoja wa Ulaya na Uingereza zinatumia mienendo inayokinzana dhidi ya Iran ambayo…