Wanawake na watoto, wahanga wakuu wa unyanyasaji wa kingono DRC

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limesema katika ripoti yake ya karibuni kabisa iliyotolewa jana Ijumaa kwamba, kwa wastani kila baada ya dakika 30 mtoto mmoja alibakwa wakati wa mapigano makali ya Januari na Februari huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *