‘Wanaume hawana hisia” na habari zingine potofu ambazo hatuelewi kuhusu “uanaume’

Ni kawaida katika jamii zetu za Kiafrika kwa watoto kukua katika familia ambazo wazazi hawaonyeshi hisia zao waziwazi. Hisia ya hasira mara nyingi, ndiyo inayojitokeza hasa wanapoonyeshwa kukerwa na tabia fulani ya mtoto au mambo fulani katika jamii.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *