Wanasheria wa Kenya wakiongozwa na Karua wazuiwa kuingia Tanzania

Mwanasiasa maarufu wa Kenya Martha Karua ambaye pia ni mwanasheria anayewakilisha vigogo wa upinzani wanaokabiliwa na kesi katika mataifa jirani, amekamatwa nchini Tanzania katika uwanja wa ndege.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *