Wanasheria: A/Kusini haina namna nyingine ila kuunga mkono Muqawama

Hatua ya Afrika Kusini ya kuongoza kampeni muhimu ya kisheria katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) dhidi ya mauaji ya umati yanayofanywa na Israel huko Ghaza ni ushahidi wa msimamo wa kishujaa wa nchi hiyo ya Afrika na wanasheria wanasema, Pretoria haina namna nyingine isipokuwa kuendelea kuwaunga mkono wananchi madhlumu wa Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *