Wananchi wa Pakistan na UK waandamana kulaani jinai za Israel

Makumi ya maelfu ya wananchi wa Pakistan waliandamana jana baada ya Sala ya Ijumaa katika miji mbalimbali ya nchi hiyo kulaani jinai za utawala wa Kizayuni na mauaji ya umati yanayofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina wasio na hatia huko Ghaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *