Televisheni ya al Jazeera yenye makao yake nchini Qatar imetangaza kuwa wananchi wa Morocco wamefanya maandamano 105 katika miji 58 ya nchi hiyo wakitangaza mshikamano wao na kuwaunga mkono watu madhulumu wa Ukanda wa Gaza na kulaani vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo hilo.
Related Posts
Siku ya saba ya uvamizi wa Israel wa Ghaza; makumi wauawa na kujeruhiwa
Utawala wa wa Kizayuni wa Israel Israel unaendelea kufanya jinai na mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa…
Utawala wa wa Kizayuni wa Israel Israel unaendelea kufanya jinai na mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa…
IRGC: Usalama wa taifa na uwezo wa kijeshi wa Iran ni ‘mistari myekundu, haijadiliki’
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza kuwa, usalama wa taifa na uwezo wa kijeshi wa…
Msemaji wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesisitiza kuwa, usalama wa taifa na uwezo wa kijeshi wa…
Hamas yasifu msimamo wa viongozi wa Afrika dhidi ya Israel
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina , Hamas, imesifu msimamo wa “kiadilifu na jasiri” wa viongozi wa Afrika kuhusu…
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina , Hamas, imesifu msimamo wa “kiadilifu na jasiri” wa viongozi wa Afrika kuhusu…