Wanamichezo 560 wameuawa na Israel katika vita vya Gaza

Naibu Mwenyekiti wa Chama cha Wanahabari wa Michezo wa Palestina, ametangaza kuuawa shahidi kwa wanariadha 560 wa Kipalestina na uharibifu mkubwa wa miundombinu ya michezo katika Ukanda wa Gaza tangu kuanza hujuma ya kinyama ya Israel mnamo Oktoba 7, 2023.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *