Wanajeshi wawili wa Israel wauawa kwenye mtego katika handaki Gaza

Jeshi katili la Israel limeripoti kwamba wanajeshi wake wawili wameuawa na wengine wawili kujeruhiwa kutokana na mlipuko katika handaki lililowekwa mitego katika jiji la Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *