Wanajeshi kadhaa Nigeria wauawa katika hujuma ya magaidi wa Boko Haram

Kundi la kigaidi la Boko Haram limevamia kambi ya kijeshi katika eneo la Serikali ya Mitaa ya Marte, Jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria, na kuwaua wanajeshi kadhaa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *