Wanaharakati Iran watangaza kuwa tayari kupambana na Marekani

Wanaharakati zaidi ya 300 wa jumuiya za kiraia nchini Iran wamepinga vikali vitisho vya Marekani vya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya nchi yao, wakiapa kukabaliana na uvamizi wowote wa kigeni.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *