Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Glasgow wagoma kula katika kuihami Gaza

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha serikali cha Glasgow, Scotland wamefanya mgomo wa kula wakilalamikia ushirikiano wa chuo hicho na makampuni yanayotengeneza silaha kwa ajilii ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *