Wanafunzi sita wasimamishwa masomo Marekani kwa kuunga mkono Palestina

Katikati ya mvutano unaoongezeka katika chuo cha Swarthmore College huko Pennsylvania, Marekani wanafunzi sita wamesimamishwa masomo bila kupewa haki ya kusikilizwa kwa kuanzisha kambi ya kuunga mkono Palestina.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *