Wanachuo wampigisha magoti Trump, awarejeshea viza

Utawala wa Trump umelazimika kuwarejeshea viza maelfu ya wanafunzi wa kigeni wanaosoma nchini Marekani ambao alikuwa amewafutia vibali vya kuishi nchini humo kutokana na kuunga mkono Palestina na kulaani jinai za Israel.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *