Wanachama wa EU wakubaliana kuongeza nguvu za kijeshi mkabala wa Russia

Waziri Mkuu wa Poland amesema kuwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa zimekubaliana hadi kufikia mwaka 2030 kuongeza uwezo wao wa kijeshi ili kuweza kukabiliana na mshambulizi yoyote ya Russia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *