Waliokufa kwenye mafuriko DRC wafika 62 na 50 hawajulikani walipo

Takriban watu 62 wamethibitishwa kufariki dunia na wengine 50 hawajulikani walipo baada ya mafuriko makubwa kuvikumba vijiji vilivyoko karibu na Ziwa Tanganyika katika jimbo la Kivu Kusini, huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *