Waliohama Chadema: Wanakwenda kukifufua Chaumma au kudidimia nacho?

Waliohama Chadema: Wanakwenda kukifufua Chaumma au kudidimia nacho?

Taarifa za vyombo vya habari vya ndani nchini Tanzania zinaeleza kuwa mamia ya wafuasi wengine wa Chadema wako njiani kuhamia Chauma. Bila shaka hizi ni taarifa za neema kwa chama hicho na taarifa mbaya kwa Chadema.

​  BBC News Swahili

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *