Wakuu wa taasisi za elimu ya juu Marekani waungana kupinga sera za elimu za Trump

Zaidi ya marais 100 wa vyuo vikuu na taasisi za elimu wamechapisha taarifa ya pamoja wakipinga sera za utawala wa Rais Donald Trump kwa taasisi za elimu ya juu, baada ya Chuo Kikuu cha Harvard kusema utawala huo unatishia uhuru wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *